Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Mbivu na mbichi ya Taifa Stars kujulikana leo

Michuano ya AFCON 2023 Kundi F leo saa 5:00 usiku litamaliza mechi za hatua ya makundi kwa Tanzania kuivaa DR Congo huku Morocco ikiikabili Zambia.

Katika kundi hilo Morocco anaongoza kwa pointi 4, DR Congo 2, Zambia 2 na Tanzania 1, hivyo ushindi kwa Tanzania utaiweka sehemu nzuri ya kufuzu hatua ya 16 bora.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *