Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Simba kula sahani moja na Singida FG Mapinduzi Cup

Kamati ya Mashindano ya Kombe la Mapinduzi imetangaza makundi matatu huku kila kundi likiwa na timu 4 kwenye timu 12 zitakoshiriki Mashindano hayo yanayotarajiwa kuanza rasmi Disemba 28, 2023 na kumalizika Januari 13, 2024 kwenye Uwanja wa Amaan.

Kundi ‘A’
Mlandege FC (Zanzibar), Azam FC (Tanzania), Chipukizi (Zanzibar), URA (Uganda)

Kundi ‘B’
Simba SC (Tanzania), Jamhuri (Zanzibar), APR (Rwanda) na Singida Fountain Gate (Tanzania)

Kundi ‘C’
Yanga SC (Tanzania), Bandari (Kenya), KVZ (Zanzibar), na Vital’o (Burundi).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *