Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Taylor Swift ametangazwa rasmi kuwa ni bilionea

Nyota wa muziki wa pop kutoka Marekani Taylor Swift ametangazwa rasmi kuwa ni bilionea, hii ni kwa mujibu wa mtandao wa Bloomberg.

Swift anatajwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 1.1, na hii ni kutokana na ziara ya Eras ambayo imemsaidia kukuza uchumi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *