Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Nicki Minaj amnasa aliyemchomea kwa polisi

Rapa Nick Minaj ameshampata aliyepiga simu ya kumchomea kwa watu wa Idara ya Watoto na Huduma za Familia, kuwa rapa huyo na mumewe wanamfanyia kitendo cha kikatili mtoto wao nyumbani na kupeleka polisi wa LA maeneo ya San Fernando Valley kufika eneo hilo ila wakakuta taarifa ilikuwa ya uongo(Prank).

Mshikaji huyo aitwaye Stephanie Bell, alifanya kitendo hicho mwezi uliopita na sasa ataonja joto ya jiwe kwani Nicki ameshamchukulia hatua za kumfikisha mahakamani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *