Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Ndoa ya Kaka,ilivunjika kwa sababu hakuwahi kum-cheat mkewe

Aliyekuwa mke wa mchezaji wa zamani wa Brazil, Ricardo Kaka, Bi. Caroline Lyra Celico amedai aliomba talaka kwa mume wake kwasababu mumewe hakuwa msaliti kwenye ndoa yani alikuwa mtu mwema sana na hakuwahi hata mara moja kumsaliti.

Mbali na hipo Bi. Caroline amebainisha kuwa mumewe alikuwa anamtunza vyema ila kwa bahati mbaya alikosa furaha kwenye ndoa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *