Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Ni Diamond Platnumz na Alikiba ndio wamepata tuzo hii


Mtandao wa Africa Facts Zone, umeweka orodha ya wasanii zaidi ya 10 kutoka Barani Afrika ambao wameweza kushinda tuzo za MTV European Music Awards (EMAs)

Upande wa Afrika Mshariki ni Diamond Platnumz na Alikiba. Ila Diamond anazo tuzo hizo tatu huku Alikiba akiwa nayo moja pekee.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *